Baada ya ushindi warembo hao walitumia mtandao wa Intagram kutoa Pongezi zao.
"Hongera sana cherie @officialkiba kwa kujishindia tuzo sita jana usiku kwenye Kiba Tanzania Music Awards (KTMA) sorry Kilimanjaro Music Awards 2015 Teh teh the, " Aliandika Jokate
Huku bidada Wema aliandika: " Nilitaka zote saba ila hata sita pia sio mbaya.... #kingkiba .... umetisha"
![]() |
Tuzo sita alizoshinda msanii, Ali Kiba ndani ya KTMA |
No comments:
Post a Comment