Thursday, June 11, 2015

KWETU HOUSE SEASON 2, ARUSHA /MOSHI MPOOOOOOO ???

AzamTv inakuletea #KWETUHOUSE Season 2.Shabiki wa kweli na mwenye kipaji atajinyakulia pesa taslimu Milioni 15 pamoja na zawadi nyingine lukuki.



Wadau wa Moshi/Arusha mpo tayari? Tukutane KESHO, tarehe 12 pale Tripple A kuanzia saa 2:00 asubuhi.Kwa wale watakaohitaji fomu, Fika kwa wakala wetu Arusha uchukue fomu za usajili

Bensons & Company-Sokine Rd
Leo Investment-Sokoine Rd
Gadge Tronics-Block 1



Kwetu House ya mwaka jana ilikua full shangwe, ya mwaka huu sii yakukosa

JE, wewe ni shabiki wa kweli?? Una kipaji?? Njoo tukutane Triple A kesho.


HII SII YAKUKOSA !!!

No comments:

Post a Comment